Ijumaa, 26 Agosti 2016

MWANASHERIA AITAKA SERIKALI KUWA WEZESHA WANANAWAKE UMILIKI WA ARDHI .

Tokeo la picha la pindi chana tanzania

MWANASHERIA WA  CHAMA CHA WANAWAKE NCHINI TAWULA PINDI  CHANA



Timothy Marko.
MWANASHERIA  wa chama cha wananawake nchini(TAWLA)Dkt. Pindi Chana ameitaka serikali kujenga mazingira mazuri ya kumiliki ardhi kwa wanawake ilikuweza kuchochea ukuwaji wasekta ya kilimo nchini nakuondokana nauhaba wa chakula unaikabili sehemu mbalimbali nchini .

Akizungumza katika mkutano wa taasisi hiyo unaojadili umuhimu wa kumuwezesha mwanamke kiuchumi gender Equlity women Empowerment (Gewe )Pindi Chana amesema kuwa ilikumoundoa mwanamke katika janga la umasikini nilazima jitahada zakumkwamua kiuchumi na kijamii zifanyike ikiwemo kuondoa mila kandamizi zinazo muathiri mwanamke kiuchumi ikiwemo umiliki wa ardhi .

‘’Ili kumuwezesha mwanamke kiuchumi nilazima zitungwe sera zitakazo muwezesha mwanamke kuweza kumiliki ardhi hali ambayo itamsaidia kuweza kulisha familia nakuondokana naumasikini ,pia kuondokana na uhaba wachakula na bala la njaa linalo ilikabili sehemu mbalimbali nchini ‘’Alisema Dk.Pindi Chana

Dk.Chana alisemakuwa ilikuondoakana natatizo lanjaa linaloikabili maeneo mengi nchini nilazima serikali iweke bajeti yakutosha katika sekta yakilimo ili kuwezesha upatikanaji wa zana mbalimbali za kilimo na pembejeo za kilimo .

Alisema kuwa ilikuweza kuondokana na umasikini juhudi mbambali zinatakiwa kufanyika ikiwemo kutunga sera zitakazo weshesha sekta binafsi na uuma kuweza kushirikiana katika ngazi za vijiji kata na mkoa nakuziwezesha asasi mbalimbali kuweza kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya kilimo 
.
‘’Katika kumuwezesha mwanamke kiuchumi nilazima jamii nzima iweze kupewa elimu ikiwemo wanaume juu ya umuhimu wa wanawake kuweza kumiliki ardhi nakuachana mila potofu za kutomuwezesha mwanamke kutomiliki ardhi ‘’Aliongeza Dk.pindi chana .

Katika hatua nyingine Muwakililishi wa asasi yakiraia inayojishughulisha na masuala  kilimo nchini yaWomen Agriculture Association (TAWLAE)Mary Liwa amesema Tanzania imekuwa mdau muhimu katika mikataba yakimataifa inayo muwezesha mwanamke ikiwemo kuondokana njaa nakukuza sekta yakilimo kwa mwanamke .

Liwa amesema kuwa changamoto kubwa katikamkumuwezesha mwanamke nichakula ambapo aliitaja kipindi cha ujauzito ndicho kipindi kigumu ambacho mwanamke anahitaji chakula kwa wingi kuliko muda wote hivyo nilazima mazingira yakilimo na chakula yanahitajika kuboreshwa 
.
‘’Tamaduni zimekuwa zikimkandamiza hasa mwanamke ambapo tunaona katika bajeti iliyopo niasilimia 10 tu ya kilimo ambayo mwanamke bado haja shirikishwa na imekuwa nikazi ngumu bajeti hiyo kumfikia mkulima wa hali yachini aliyopo kijijini ‘’Alisema LIWA.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni