Jumatatu, 18 Julai 2016

KIWANGO CHAMAUZO SOKO LAHISA DSE CHA SHUKA.

Afisa MWANDAMIZI wa SOKO la HISA Dar es Salaam Mary Kinabo




Timothy Marko.
KIWANGO cha Mauzo yahisa katika Soko la hisa Dar es Salaam kimeshuka Kutoka shilingi bilioni 11.6 ikilinganishwa nashilingi bilioni 5.6 katika kipindi cha wiki iliyopita  hali iliyochangiwa kupanda kwa  Sekta ya viwanda kwa asilimia 11.47 baada yahisa TCCL Kupanda kwa asilimia 0.61 .
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam  Afisa Mwandamizi wa Soko hilo Mary Kinabo amesema wakati kiwango hicho cha mauzo kikiwa kimeshuka kutokana kupanda kwasekta yaviwanda kwa asilimia 11.47 kufuatia bei ya hisa za hisaTCCL naTBL  kupanda kwa asilimia 0.61 Sekta ya huduma za kibenki na kifedha imeonekana ikipanda kwa 5.83baada yahisa zilizo kwenye kaunta katika soko hilo kupanda .


‘’Wakati huo huo Makapuni yanayoongoza kwa kuuza hisa zake nakununuliwa nipamoja na soko lahisa la Dar es salaam (DSE) kwa asilimia 61,CRDB Asilimia 34 wakati Kampuni ya Bia nchini (TBL)ikishika nafasi yatatu kwa asilimia 2.6 kwa kuuza nakununuliwa hisa zake katika soko hili ‘’Alisema Afisa biashara Mwandamizi Mary Kinabo .

Aidha,katika hatua nyingine Afisa Biashara Mwandamizi Kinabo alisema kuwa kufuatiashindano la kukuza uelewa juu ya masoko yamitaji kupitia soko hilo jumla ya  vyuo vipatavyo vitano vimeingia katika fainali ya shindano hilo huku chuo cha cha elimu yabiashara cha jijini Dar es salaam (CBE )Kikiongoza kikifuatiwa na chuo cha mipango .

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni