Jumanne, 28 Februari 2017

SEREKALI YA RIDHISHWA NA KASI YA UWEKEZAJI WA VIWANDA NCHINI

BOM1
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  akionyeshwa Picha na Rais wa Kampuni ya China National Materials Company Ltd (SINOMA),  Peng  Jianxin  ambaye Kampuni yake inatarajia kujenga kiwanda cha Cement Mkoani Tanga  mwisho kulia ni  Mkuu wa Mkoa wa Tanga Bwana  Maritin Shigela , Shughuli hiyo imefanyika leo 28 February 2017 katika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu Ostabay Dar es salaam
Picha na Pmo

BOM2
BOM3
Waziri Mkuu ,Kassim Majaliwa akisoma Hotuba leo 28 February 2017 ya ufunguzi wa Mkutano kuhusu nafasi ya Mashirika ya Umma katika utekelezaji wa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano Mkutano huo Umefanya  katika Ukumbi wa  Kikwete Ikulu Dar es salaamPicha na Pmo
BOM4

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni