Waziri wa Mazingira ofisi ya makamu wa Rais January Makamba |
Timothy Marko.
KATIKA
kuhakikisha jamii ya Tanzania inakuwa na usawa katika ukuwaji wauchumi, jamii
imeshauriwa kuwekeza katika elimu ilikuweza kuondokana na pengo la walionacho
nawasiokuwanacho ili kukuza uchumi na kukuza kipato chao
.
Akizungumza
Katika uzinduzi wa ripoti yahali ya afrika mashariki 2016 kukosekana kwa usawa
katika masuala yakuiuchumi nakisiasa (The state of East Africa 2016
consolidating Misery, the political economy of inequalities) Waziri wa
Mazingira ofisi ya makamu wa Rais January Makamba amesema kuwa hali ya
umasikini imezidi kuwa kubwa hali inayochangiwa na hali ya kuwepo kwa pengo
walionacho nawasikiuwa nacho kuwa kubwa .
‘’Changamoto
kubwa tangu tupate uhuru ni umasikini,ujinga maradhi lakini ameongezeka adui mwingine kati ya
walionacho na wasikuwa nacho lakini kutkana nauzinduzi wa ripoti hii itakuwa
mwarobaini wa hali ya pengo la walionacho nawasikuwa nacho ‘’Alisema Waziri wa
Mazingira ofisi ya Makamu wa Rais January Makamba.
Waziri Makamba
alisema kuwa hali ya kuwepo kwa pengo la walionacho nawasikuwa nacho kuongezeka
limetokana na kukosekana kwa usawa wa ugawaji wa rasmali hali hiyo inapotekea
nilazima viongozi wawemakini katika kudhibiti hali hiyo .
Alisema kuwa
Hapo awali usawa wakipato ulikuwa unachangiwa nadhana malimbali ikiwemo Rangi
ambapo jamii ya kiasia nawazungu walikuwa wakimiliki kiwango kikubwa cha
Rasmali ikilinganishwa na waafrika ambao walikuwa wakimiliki kiwango kidogo cha
Rasmali .
‘’KATIKA
safari yanchi yetu tumepata wazungu wapya,kuna watumishi wanaishi maisha mazuri
tofauti ya kipatohatuna budi kukabiliana natatizo la usawa kwa kuwekeza kwenye
elimu kwani ninyenzo muhimu lakukabiliana natatizo lakukosekana kwa usawa ‘’Aliongeza
WAZIRI Makamba .
Makamba
aliongeza kuwa takwimu zinaonesha kuwa uchumi watanzania unakuwa siku hadi siku
nilazima kuwekeza kwa elimu kwa watoto wetu ilikuondokana napengo lawalionacho
nawasikuwa nacho hali itakayo chochea ukuwaji wa kiuchumi na kuondokana
umasikini wakipato .
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni