Jumatano, 10 Desemba 2014

MAKATIBU MUHUTASI ZINGATIENI MAADILI .


Timothy Marko
Jumuhia ya makatibu mhutasi nchini imewataka wanachama wake kuzingatia maadili wawapo katika utendajiwao wa kazi ilkukuweza kukuza taluma hiyo ambayo nimuhimu katika mashirika binafsi na yale yaumma .
Akizungumza na waandishi wa habari jiijini Dar es salaam ,Mwenyekiti wa Jumuhia ya makatibu muhutasi nchini Zuhura Songambele amesema kuwa ilkuweza kukuza taaluma ya makatibu muhutasi watuhumishi wafani hiyo nivyema kuzingat ia maadili ilkuweza kukuza heshima yataaluma hiyo .
‘’Serikali imeweza kuruhusu vyuo vyingi vinavyo fundisha ukatibu muhutasi ikiwemo vyuo binafsi na vile vya umma lakini tuna tarajia kuwa katibu muhutasi anakuwa na ukaribu wa kutekeleza majukumu yake kwa bosi aliye muajiri na si vinginevyo ‘’Alisema Zuhura Songambele .
Zuhura Songambele alisema kuwa pindi katibu muhutasi atapo ona ananyanyaswa na mwajiri wake ikiwemo kunyanyaswa kijinsia katibu muhutasi hana budi kutoa taarifa katika mamlaka husika ili hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa .
Alisema ilkuweza kuzibani changamoto mbalimbali wa nazopitia makatibu muhutasi katika tasisi za umma nabinafsi makatibu muhtasi hao hawana budi kujiunga katika vyama vya makatibu muhutasi nchini ikuweza kutatuliwa kero zao ikiwemo kunyanyaswa na mabosi wao kijinsia ilihatua ziweze kuchukuliwa .
JUHUMUHIA YAMAKATIBU MUHUTASI WAKIZUMNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI JIJINI DAR ES SALAAM . caption

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni