MWANAHARAKATI KWANZA BLOG

Blogu hii makini iko kwa ajili ya kuhabarisha masuala ya kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni. Karibuni sana.

  • NYUMBANI
  • MATUKIO
  • HABARI
  • MICHEZO
  • BIASHARA
  • KUHUSU MIMI
  • MAKALA
    • MAONI
    • BARUA

Jumatatu, 20 Juni 2016

MULTIPLE CHOICE TANZANIA KUWAJENGEA UWEZO WATUMISHI WAKE KWA KUVIENDELEZA VIPAJI VYAO.

Conversation opened. 2 messages. All messages read.

Timothy Marko.

KATIKA kuhakukisha sekta ya biashara inakuwa hapa nchini kampuni ya multiple choice Tanzania imemuteuwa Mkurugenzi Maharage Chande kuwa Mkurugenzi wa Taasisi hiyo.

Akizungumza katika uteuzi huo Mkurugenzi wa kampuni yaw a mutiplechoice Maharage Chande amesema kuwa  kuteuliwa kwake kunafuatia hatua ya kampuni hiyo katika kuboresha raslimali watu wa kampuni hiyo inayoongoza hapa  nchini.
‘’Kampuni hii ya multiple choice inalenga kukuza  kampuni ya multiple choice kwa kuwajili watu wenye uwezo ikwemo wenye ujuzi mbalimbali ili kuweza kuakikisha kampuni hii inakuwa kibiashara’’ Alisema Maharage Chande.

Mkurugenzi Maharage Chande alisema kuwa katika kufanikisha jukumu hilo kampuni ya multiple choice imeamua kuwekeza kwa kuinua na kuboresha rasilimari watu kwa kuwaongezea ujuzi mbalimbali ili kuleta matokeo bora ya kampuni.

Alisema kuwa kutokana na kampuni ya multiple choice Tanzania kutambua umuhimu wa kukuza raslimali watu kampuni hiyo imekuwa bora katika ukanda wa kusini mwa afrika pamoja na dunia kwa ujumla katika huduma mbalimbali za kuburudisha na kuelimisha jamii kupitia chaneli zake barani afrika.

‘’Kampuni hii ya multiple choice imekuwa ni bora barani afrika baada ya kutambua vipaji mbalimbali  vya raslimali watu walioajiliwa katika kampuni na kuweza kuviendeleza ili kuweza kuleta matokeo bora katika  kampuni ‘’Aliongeza  Mkurugenzi Chande.






Recent photos
View photo in message
Show details

Press Release - MCT Announcement (2).docx
Displaying Press Release - MCT Announcement (2).docx.
Imechapishwa na Unknown kwa 07:34
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

WATEMBELEAJI

Popular Posts

  • UPANGAJI WA VIWANGO VYA ALAMA, MATUMIZI YA ALAMA ENDELEVU YA MWANAFUNZI NA UFAULU
    1.    UTANGULIZI Wizara imekusanya maoni ya Wadau wa Elimu kuhusu Upangaji wa Viwango vya Alama (Grade Ranges) katika Mitihani ya Kuhitimu K...
  • SERIKALI YAPIGA MARUFUKU ''VIGODORO'' KUFANYIKA MITAANI.
    Timothy   Marko. Serikali imepiga   marufuku ngoma zinazovunja maadili ya mtanzania ujulikanao kama’’ vigodolo’’nakusimamisha ngomahizo k...
  • OFISI YATAKWIMU YATAKIWA KUTOA TAKWIMU ZILILIZOSAHIIHI ILKUWEZA KUTUMIKAKATIKA NYANJA YAMAENDELEO
     . NAIBU  KATIBU  wa wizara ya viwanda nabiashara  MARIA DILIA kizungumza katika hafla yakutunukuwalihitimu mafunzo ya takwimu katika...
  • SERIKALI YA ANDAA MPANGO WA AJIRA KWA VIJANA .
    Naibu waziri wakazi vijina ajira nawatu wenye ulemavu nchini Antony Mavunde   Timothy Marko . KATIKA kuhakikisha tatizo la ajira kw...
  • SERIKALI YA ZITAKA HALIMASHAULI ZILIZO NAKASORO KATIKAUCHAGUZI WASERIKALI ZAMITAA KURUDIA UCHAGUZI.
    Waziri WA tamisemi Hawa GHASIA akizungumza nawaandishi wa habari mapema hii leo jijini Dar es salaam. BAADHI yawaandish...
  • MABEHEWA YALIYO KAGULIWA NAKAMATI YABUNGE YA WIZARA YAUCHUKUZI MAPEMA HII LEO
    MABEHEWA YALIYO KAGULIWA NAKAMATI YABUNGE YA WIZARA YAUCHUKUZI MAPEMA HII LEO  Timothy Marko. MWENYEKITI wakamati ya bungeya wizar...
  • PROFESA MAKAME AITAKA BODI YA POSTA KUKUSANYA MAPATO .
    WAZIRI WA UJENZI UCHUKUZI NA MAWASILIANO PROFESSA M AKAME MBARAWA akisisitiza jambo wakati akizungumza nawafanyakazi washirika la posta ji...
  • TANZANIA YATAKA WANANCHI WASIPOTOSHWE JUU YAMIPAKA YA NCHI .
      Timothy Marko. KUFUATIA kuwepo kwa mgogoro wa mpaka Kati ya Tanzania na Malawi katika ziwanyasa serikali imesema inaendelea kufanya j...
  • TRA YAINGIA MAKUBALIANO NA ZANZIBAR MAKUSANYO YA KODI.
    KAMISHINA WA MAMLAKA YA MAPATO NCHINI( TRA)ALPHAYO KIDATA AKIZUNGUMZA NAWAANDISHI WA HABARI MAPEMA HII LEO JIJINI DAR ES SALAAM. Timoth...
  • DENI LA TAIFA LA ENDELEA KUTIKISA UCHUMI WA TANZANIA YASEMA TCDD
    Timothy   Marko. Deni la ndani   limekuwa likiongezeka kwakiwango hadi kufika asilimia 470 katika kipindi cha   mwezi septemba mwaka 2012...
© 2015 Na. Mwanaharakati Kwanza Blog. Mandhari ya Dirisha la Picha. Inaendeshwa na Blogger.