![]() |
| jaji JOSEPH WARIOBA |
Timothy Marko
MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba Jaji Mstaafu Joseph sinde Warioba amesema kuwa Vita ya Madawa yakulevya nishirikishi kwajamii ya Kitanzania nakuitaka serikali ya awamu yatano kuwekeza zaidi katika kutoa elimu katikangazi familia hadi kitaifa ilikuweza kukabiliana na janga hilo nchini.
Akizungumza katika hafla yauzinduzi wa kitabu cha Mtandao wa wanawake nakatiba Tanzania Jaji warioba amesema kuwa serikali inapaswa kuaelimisha jamii juu ya madhara yamadawa yakulevya kiwemo ulimaji wa madawa hayo ikiwemo bangi ambapo katika eneo la vijijini zao hilo limekuwa lakawaida kulimwa nawananchi kutojua madhara ya zao hilo.
''Kuna umuhimu wakuelimisha wananchi juu ya madhara yakulima bangi nilazima vita ya madawa yakulevya kuweza kujenga nguvu yapamoja kuweza kukomesha matumzi ya madawa yakulevya pamoja nausambazaji ''Alisema JAJI Joseph Warioba .
JajiWarioba amsema kuwa nilazima jamii lazima jamii ipewe elimu nanjia mbadala wa kuishi pasipo kutumia madawa yakulevya sambamba na juudi yakuyazuia madawa hayo yasiweze kupenya katika njia zapanya ndani na nje yamipaka ya nchi .
Alisema katika mapambano dhidi yamadawa yakulevya nivyema wanasiasa kuachana naitikadi zao nabadala yake kuweza kujenga nguvu yapamoja katika kuwabiliana najanga hilo .




Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Balozi wa Sweden nchini Mhe. Katarina Rangnitt,ofisini
kwake Ikulu jijini Dar es Salaam. (Picha kwa Hisani ya Ofisi ya Makamu
wa Rais).
Picha ya pamoja
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Balozi wa Comoro hapa nchini Mhe. Dkt. Ahamada El
Badaoui, ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam. (Picha kwa Hisani ya
Ofisi ya Makamu wa Rais)