Jumatatu, 29 Agosti 2016

MAHITAJI YA HISA DSE YASHUSHA KIWANGO CHA MAUZO YAHISA.

Tokeo la picha la marry kinabo
Afisa Mwandamizi wa Soko la hisa la Dar es salaam (DSE)Mary kinabo


Timothy  Marko
KIWANGO Cha Mauzo ya hisa Katika Soko lahisa katika soko la hisa la Dar es salaam kimeshuka  kutoka shilingi bilioni 3.3 hadi bilioni2.2

Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam Afisa Mwandamizi wa Soko la hisa la Dar es salaam (DSE)Mary Kinabo amesema kuwa kushuka kwa mauzo ya hisa katika soko hilo,kumechangiwa na mahitaji makubwa yahisa katika soko hilo .

‘’Wakati huo huo kiwango cha hisa nakununuliwa zimeshuka kwa asilimia 42 kutoka milioni 1.3 hadi milioni 2.2 ‘’Alisema Afisa Mwandamizi Mary Kinabo.

KINABO  alisema kuwa kampuni zinazo ongoza kwa mauzo yahisa nakunuliwa nipamoja na CRDB kwa asilimia 41 ikifuatiwa nasoko la hisa la Dar es salam Kwa asilima 36 huku Benki ya kibiashara ya NMB ikishika nafasi yatatu kwamauzo ya hisa zake kwaasilimia 9

 Alisema kuwa wakati benki ya NMB Ikishika nafasi ya tatu katika mauzo ya hisa katika soko hilo ukubwa wamtaji wa soko umeshuka kutoka shilingi trioni 23.4 hadi kufikia trioni 22.7 sawa nasalimia 3 .

‘’Viashiria vya sekta yaviwanda katika wiki hii imeshuka kwapointi 66.10 baada yahisa za TBLkushuka kwa asilimia 2.13huku sekta yakifedha ikionekana kupanda kwaasilimia 7.83 hii nikutokana bei yahisa kupanda kwenye kaunta za DSE kwa asilimia 33.73 na DCB kwa asilimia 14’’ aliongeza Kinabo.

Aliongeza kuwa sekta yahuduma ya kibiashara imeimarika kutokana na bei yahisa za shirika landege laswisport kufikia shilingi 3,543.02

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni