Ijumaa, 29 Julai 2016

SERIKALI YAWATAKA VIJANA KUTOILAUMU; BADALA YAKE KUJIKITA KATIKA MASUALA YA UBUNIFU .

http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2016/04/Antony-Mavunde.jpg
Naibu Waziri wa Kazivijana  ajira Antony Mavunde


Timothy Marko .
Naibu Waziri wa Kazivijana  ajira Antony Mavunde amewataka vijana nchini kutosubiri kuajiriwa na serikali nabadala yake kujikita katika shughuli za ubunifu Ili kuondokana na tatizo la ukosefu wa ajira .
Antony Mavunde aliyasema hayo mapema hii leo jijini Dar es salaam wakati wauzinduzi wa mfumo wa watiketi kwanjia yakiletroniki ulioandaliwa taasisi ya UDSF inayo jishughulisha na kupambana na umasikini .
‘’Ninaomba vijana nchi nzima kujikita katika shughuli za ubunifu na kutosubiri ajira kutoka serikalini  nivyema wakatumia taaluma zao katika ubunifu ili ilikuweza kujiletea maendeleo ‘’Alisema  Naibu waziri  wakazi ,vijana naajira  Antony Mavunde 

Naibu Waziri Mavunde alisema kuwa vijana ninguvu kazi yataifa hivyo nilazima vijana kuweza kujiletea maendeleo kwa kujishughulisha katika shughuli za ubunifu nakuto ilaumu serikali juu ya ukosefu wa ajira .

Alisema kuwa hatua ya uzinduzi wa tiketi yakiletroniki kupitia simu za mikononi nihatua nzuri yakukabiliana na changamoto ya usafiri hasa katika mkoa wa Dar es salaam.
‘’vijana wengi wamekuwa wakitumia simu katika magroup katika kuchati mambo yasiyo na tija ‘’Aliongeza  Mavunde .

Mwenyekiti wa Global Company Ramond Magambo amesema kuwa uzinduzi watiketi Rafiki yamtandao utarahisisha hali yausafiri katika jiji la Dar es salam .
Alisema kuwa huduma tiketi Rafiki inayotumia Smatt phone na wasio nasmatt phone ambayo inatumia mfumo wa Tehama  itawezsha kutambua ruti mbalimbali za usafiri katika jiji la Dar es salaam .
‘’Elimu zaidi itatolewa kwa vyombo vya habari pamoja namitandao ykijamii juu yamifumo wa tiketi rafiki ilikuweza kurahisisha hali yausafiri katika jiji la Dar es salam’’Alisema  Magambo .

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni